Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa inatangaza nafasi 4 za Dereva Daraja II. Hii ni fursa kwa madereva wenye sifa stahiki kujiunga na timu ya watumishi wa umma.


Sifa za Mwombaji:

  • Awe na Cheti cha Kidato cha Nne.
  • Awe na Leseni ya Daraja E au C yenye uzoefu wa kuendesha kwa angalau mwaka mmoja bila kusababisha ajali.
  • Awe amehudhuria mafunzo ya msingi ya Ufundi Stadi kutoka VETA au chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali.
  • Mwisho wa Kutuma Maombi: 27 Oktoba 2024

Ikiwa una sifa zinazohitajika, hakikisha unatuma maombi yako kabla ya tarehe ya mwisho.

               BOFYA NA TUMA MAOMBI!!

Post a Comment

أحدث أقدم